Pages

Friday, September 14, 2012

Maalim Seif ziarani UK

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Waziri katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika na Jumuiya ya Madola, Bw. Mark Simmonds, katika makao makuu ya Wizara ya mambo ya Nje (Foreign and Commonwealth Office), mjini London, nchini Uingereza. Katika mazungumzo hayo, Maalim Seif hakutafuna maneno kuhusiana na mwelekeo wa matakwa ya Wazanzibari kutaka kuirejesha Jamhuri ya Watu wa Zanzibar yenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa ikiwa na kiti chake Umoja wa Mataifa (UN) ambayo itaingia katika mashirikiano ya Mkataba na Jamhuri ya Tanganyika. Pamoja Daima!

No comments:

Post a Comment